Rais mstaafu wa awamu ya pili Al hadji
Ali Hassan Mwinyi akizindua moja ya sanamu za kumbukukumbu ya waanzishi
wa shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai ambayo imeadhimisha miaka
20 toka kuanzishwa kwake,huko Monduli Mlimani, leo jumamosi 24 January.
Mke wa mbunge wa Monduli mama Regina
Lowassa akipanda mti wa kumbukumbu ya miaka 20 tokea kuanzishwa kwa
shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai wilayani Monduli leo jumamosi
January 24.Anayeshuhudia ni mumewe Mh Edward Lowassa na mbunge wa Viti
maalum(ccm) mkoa wa Arusha Namelok Sokoine.
Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa na mkewe mama Regina Lowassa katika sherehe hizo
Rais Mstaafu wa awamu ya pili al hadji
Ali Hassan Mwinyi akisamiliana an mama Regina Lowassa wakati akiwasili
katika shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai wilayani Monduli ambapo
shule hiyo inaadhimisha miaka 20 tokea kuanzishwa kwake.
No comments:
Post a Comment
paulmkale