Tweet za Davido hazimlengi Diamond, wako poa – Meneja

Kwa mujibu wa mmoja wa mameneja wa Diamond Platnumz, tweet zenye hasira zilizoandikwa na Davido jana hazimhusu muimbaji huyo wa ‘My Number One.’ Mitandao mikubwa ya Nigeria ikiwemo Pulse na News24 imeandika kuwa tweets hizo ambazo Davido anamzungumzia mtu asiye na shukrani kwake na kwamba kiama chake kinakuja, zimemlenga Diamond.

No comments:

Post a Comment

paulmkale