Picha;Ludacris afunga ndoa na Girlfriend wake wa kitambo Eudoxie
Ludacris ameamua kuipeleka ndoa yake kama movie yake
inavyokwenda ...Fast and Furious.. kwasababu inasemekana ameoa msimu huu
uliopita wa sikukuu baada ya kum-propose siku hiyo hiyo.Luda aliomba kumuoa GF wake wa siku nyingi Eudoxie
wakati wa mchana kisha akampeleka chakula cha usiku (Georgia
restaurant), waliporudi nyumbani gauni la harusi lilikuwa lilikuwa
limeshafika nyumbani" kilisema chanzo cha habari hizo.
No comments:
Post a Comment
paulmkale