Msanii Matonya Azima Nusu Kufa Nomaaa!

Kupitia mitandao ya kijamii siku kulikua na picha ya msanii  Matonya ikimwonyesha akiwa (amezima) amelala chini, kwenye michanga huku suruali yake ikiwa magotini na kubaki asilimia kubwa ya boxer yake hadharani 

Kiukweli sio picha nzuri licha ya kuwa pia iliambatana na uvumi kuwa Matonya ameaga dunia, Matonya hapatikani kwa simu, lakini msanii wa kitambo Rich Onea ambae anadai kuwa ni jirani yake Matonya ameongea anachokifahamu juu ya picha hiyo

No comments:

Post a Comment

paulmkale