“Nana” ya Diamond na “Chekecha” ya Ally Kiba katika Top 10 ya Radio maarufu ya
Muziki wa Tanzania unaendelea kufika mbali
zaidi kwa kutoa wasanii wakubwa wanaofanya vizuri kama Diamond Platnumz.
Ally Kiba ni mmoja ya wasanii kutoka Tanzania ambae anafanya vizuri kwa
sasa na nyimbo yake ya Chekecha.

ALI KIBA
Nyimbo ya Chekecha inaendelea kufanya poa Afrika baada ya kuingia
katika Top 10 za Radio maarufu ya Nigeria iitwayo THE BEAT 99.9FM,
chekecha katika wiki hii imeshika nafasi ya tisa.

Diamond Platnumz
Katika chart hiyo ya “Nana” ya Diamond aliyomshirikisha Mr Flavour
imekamata nafasi ya pili katika wiki hii…Big up Ally Kiba na Diamond
Platnumz kwa kuendelea kutuwakilisha vizuri kimataifa.
No comments:
Post a Comment
paulmkale