Staa wa ‘Nana’ Ft Mr Flavour Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa
anatamani watu wajue jinsi anavyompenda Zari Tlale aka Zari The Boss
Lady.
Kama wewe ni shabiki basi ni hii ni nafasi yako ya kujua kuwa wapenzi hawa wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza mwezi ujao.
No comments:
Post a Comment
paulmkale