Picha,Diamond Platnumz akibusu tumbo la Zari, natamani mjue jinsi navyompenda Zari.

Staa wa ‘Nana’ Ft Mr Flavour Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa anatamani watu wajue jinsi anavyompenda Zari Tlale aka Zari The Boss Lady.
Kama wewe ni shabiki basi ni hii ni nafasi yako ya kujua kuwa wapenzi hawa wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza mwezi ujao.

No comments:

Post a Comment

paulmkale