Kumekuwa
na Mvutano mkubwa sana baina ya Team mbili kati ka Team Diamond na Team
Kiba, Salama Jabiri kaongelea hizi Timu na Kusema Kuwa hadhani kama
Diamond na Ally Kiba wana Uadui mkubwa kama watu wanavyofikiria.Akiongea katika kipindi cha XXL Salama Jabiri amesema:
"Mimi
na Ali Kiba sio Maadui pia mimi na Diamond Sio Maadui, sipendi jinsi
ambavyo nikiongea na Diamond watu wanahisi mimi ni team Diamond na
nikiongea na Ali Kiba wanasema mimi ni team Ali Kiba, Sina Team mi ni
Mtanzania napenda mziki na wananikwaza sana kunitaka niwe upande Flani,
siwezi kuwa upande flani , Diamond anajua kwamba mimi naongea na ali
kiba, Ali Kiba anajua kuwa naongea na Diamond" aliongea Salama Jabiri.
No comments:
Post a Comment
paulmkale