Hii Ndio Safari Ya Matumaini Ya Mh. Lowassa Ilivyowafikia watu wa Zanzibar Tazama Picha HAPA

Safari ya Mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowassa kusaka Wadhamini kwenye Mikoa mbalimbali Tanzania imekamilika tayari August 17 2015, kilele cha Safari hiyo ni Visiwani Zanzibar ambapo umefanyika Mkutano eneo la Kibanda Maiti.

Ssas unaweza kuona kwenye hizi pichaz jinsi ambavyo Zanzibar imempokea Mgombea huyo pamoja na Timu ya Viongozi wa UKAWA.





                                     Khamis Mgeja akizungumza katika mkutano huo

 James Mbatia akiongea na watu wa Zanzibar kwenye Mkutano eneo laKibanda Maiti.
                                     Seif Sharif Hamad nae akihutubia kwenye Mkutan huo.


Ukafika wakati wa Mgombea huyo Urais, Edward Lowassa kuongea na Wazanzibar.

No comments:

Post a Comment

paulmkale